Welcome Chato ZRH
profile

DR BRIAN C. MAWALLA
EXECUTIVE DIRECTOR

Welcome to Chato zonal refferal hospital, this hospital is located at Chato District near with the Lake Victoria. Our expectation is to provide the services that you deserve regardless of religion, ethnicity, income, race, gender, age or nation. On behalf of the entire Chato Zonal Referral Hospital team, I would like to welcome you to experience ou...Read more

Services And Facilities
  • Kufanya uchunguzi/ tathmini kwa wagonjwa wenye matatizo ya kijamii au kisaikolojia [ social and psycho-social problem) ili kujua jinsi ya kushughulikia
  • Kutoa ushauri kwa wagonjwa na/ au ndugu wa wagonjwa waliobainika kua na matatizo ya kijamii au kis...
readmore

Huduma kwa Wagonjwa wa Ndani

  • Kupitia taratibu za uchunguzi wa kitabibu utambuzi wa magonjwa hufanyika na kuhakikisha matibabu sahihi hutolewa kwa kila mgonjwa.
  • Mzunguko wa kuona wagonjwa Wodini: Hufanywa kila siku ikiwa ni pamoja na Mzunguko mkubw...
readmore

Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Chato Hutoa huduma za Kibingwa katika nyanja zifuatazo:

  • Upasuaji wa Mifupa
  • Upasuaji Jumuishi
  • Magonjwa ya kina mama na Afya ya Uzazi
  • Magonjwa ya moyo
  • Endocrinolojia (Magonjwa ya kisukari)
  • Magonjwa ya kuambukiz...
readmore


Idara ya Wagonjwa wa dharula na ajali

Idara hii ni moja kati ya Idara zilizokamilika na kujitosheleza kihuduma 

Huduma tunazotoa:

Kitengo cha wagonjwa wa nje (OPD)

  1. Huduma ya kuonwa na daktari
  2. Uchunguzi wa kitabibu
  3. Huduma za...

readmore



Daktari wa Meno akimfanyia uchunguzi wa kinywa na meno mteja

readmore
Recent News and Updates
image description
HUDUMA ZA UCHUNGUZI NA UZAZI SHIRIKISHI( COMPANIONSHIP LABOUR AND DERIVERY)...
Posted on: February 28th, 2023

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato imekuja na mpango madhubuti katika kuokoa Vifo vitokanavyo na Uzazi ambapo Huduma za uzazi na kujifungua zinatolewa kwa kuwashirikisha watu wa karibu wa Mama mjamzito na mmoja wa watu wa karibu (hasa m...Read more

image description
WATUMIAJI WA BIMA YA NHIF SASA WANANUFAIKA NA MATIBABU YA KUCHUJA DAMU (HEMODIALYSIS)...
Posted on: February 21st, 2023

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato sasa inapokea wagonjwa wenye Bima ya Afya  ya NHIF kupata Huduma ya Kuchuja na kusafisha Damu (Hemodialysis) masaa 24....Read more

image description
MAFUNZO YA UTUMISHI NA NAMNA BORA YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA ILIYO BORA...
Posted on: February 12th, 2023

Watumishi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato wamepokea mafunzo elekezi ya kiutumishi ikiwa ni pamoja na mafunzo ya namna bora ya utoaji huduma sahihi na elekezi kwa wananchi wote wanaofika katika hospitali hii kupata huduma za af...Read more

image description
UZINDUZI WA KLINIKI YA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MAGONJWA YA MOYO WAKATI WA UFUNGUZI WA KAMBI MAALUMU...
Posted on: November 1st, 2022

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhe.Martha Mkupasi leo Tarehe 1 Novemba 2022 amekata utepe kuashiria kuzindua kliniki ya Uchunguzi wa magonjwa ya Moyo wakati wa ufunguzi wa kambi maalumu ya matibabu ya moyo inayofanywa na Madaktari wa Jakaya K...Read more

image description
KAMBI MAALUM YA MATIBABU YA MOYO KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA CHATO (CZRH)...
Posted on: October 26th, 2022

Kuanzia tarehe 31/10/2022 hadi 04/11/2022 kutakuwa na kambi maalum kwa ajili ya matibabu ya Moyo itakayofanyika katika Viwanja vya Hospitali ya rufaa ya kanda Chato kwakushirikiana na madaktari bingwa wa hospitali ya Rufaa ya kanda Cha...Read more

Patients Visiting Hours
VISITING HOURS

Including Public Holidays
Morning06:00 - 07:00
Noon12:30 - 14:00
Evening16:00 - 18:00
Latest Video
Clinics
Copyright ©2022 CHATOZRH . All rights reserved.