TIBA YA KINYWA NA MENO

Posted on: November 19th, 2020

Matatizo ya meno ni shida au magonjwa yanayohusiana na meno, karibia matatizo yote ya meno yanatokea baada ya bakteria na wadudu wengine kuwepo mdomoni, hii hufanya mtu kuwa na maumivu makali kwenye meno na mpaka kupelekea kutoa damu au halufu mbaya na kuathiri meno. Matatizo mengi ya meno yanazuirika na hutibika.

AINA ZA MAGONJWA YA MENO

Mdomo una magonjwa mengi ila meno ndio tatizo kubwa sana na ndio linaweza kuleta na matatizo mengine, aina za magonjwa ni kama;

Meno kutoboka –

Meno kuvunjika –

Meno kusagika au kupungua kimo

Tatizo la fizi  

Meno kuharibika, fizi kuachia na kulegea.

Meno kufa ganzi na kushindwa kuhisi

Mhozo au Utando mdomoni

Meno kuwa na rangi ya njano, kaki au kahawia  

Copyright ©2022 CHATOZRH . All rights reserved.