Serikali imetoa magari mawili ya kubebea wagonjwa na gari moja kwa ajili ya shughuli za utawala.... Read More
News
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) CDE. Joel G. Kaminyonge, leo Mei 6, 2024 ameitembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) na kufanya mazungumzo ... Read More
Ikiwa ni Mei 1, 2024 Maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi duniani yaliyofanyika Kimkoa katika Tarafa ya Masumbwe, Wilaya ya Mbogwe iliyopo mkoa wa Geita, Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ... Read More
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Stanslaus Nyongo ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kuendeleza miradi ya Afya ambapo hadi sasa hakuna m... Read More
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi taifa Ndugu Fadhili Maganya, leo 14 Machi 2024 ametembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) kukagua miradi ya maendeleo ya utoaji huduma za afya ambap... Read More
Zaidi ya wananchi 300 wamejitokeza kufanya uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo na mishipa ya damu katika kliniki maalumu ya uchunguzi na matibabu ya magonjwa haya inayofanyika kuanzia ... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) inaendelea kuhakikisha wananchi wa Mkoa wa Geita na Kanda ya Ziwa wanapata huduma za kibingwa na bingwa bobezi kutokana na uwepo wa wataalamu, vifaa ... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato inatoa huduma kwa wanufaika wa mfuko wa bima ya afya ya Strategis.... Read More
Wakuu wa idara,vitengo na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) leo Januari 17, 2024, wamepokea mafunzo ya matumizi ya mifumo ya utumishi (PEPMIS) yenye lengo la upimaji uten... Read More
*Kutoka kutoa huduma saidizi 13 za vipimo maabara mwaka 2021, hadi sasa zaidi ya vipimo 100 vinafanyika maabara. *Kutoka kutoa huduma za vipimo maabara tukiwa na watumishi wawili (2) ha... Read More